![Simulizi Na Sauti](/img/default-banner.jpg)
- 30 322
- 420 977 677
Simulizi Na Sauti
Kenya
Приєднався 31 тра 2017
Welcome to Simulizi na Sauti, the online content company that is taking Africa by storm! Established in May 31, 2017 by Fredrick Bundala, a renowned media personality in East Africa, our mission is to deliver high-quality, engaging content to our growing audience.
Simulizi na Sauti is one of the fastest-growing UA-cam channels in Africa. Our content spans a wide range of topics, including news, entertainment, lifestyle, and more, and is presented by a team of professional journalists and presenters.
At Simulizi na Sauti, we pride ourselves on our analytical and trustworthy news coverage, and we are committed to delivering the latest, most accurate information to our viewers.
Join the millions of viewers who have made Simulizi na Sauti the fifth most-viewed UA-cam channel in Tanzania (Media category), and experience the best in online content. Don't forget to hit the subscribe button and stay up-to-date with all our latest videos!
Simulizi na Sauti is one of the fastest-growing UA-cam channels in Africa. Our content spans a wide range of topics, including news, entertainment, lifestyle, and more, and is presented by a team of professional journalists and presenters.
At Simulizi na Sauti, we pride ourselves on our analytical and trustworthy news coverage, and we are committed to delivering the latest, most accurate information to our viewers.
Join the millions of viewers who have made Simulizi na Sauti the fifth most-viewed UA-cam channel in Tanzania (Media category), and experience the best in online content. Don't forget to hit the subscribe button and stay up-to-date with all our latest videos!
URUSI yailaumu MAREKANI kwa SHAMBULIO la UKRAINE lililoua na kujeruhi huko CRIMEA
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Переглядів: 380
Відео
DHARAU ya IBRAAH inaendelea kufanya MAKUBWA, kwasasa yafikisha namba hizi YouTube na Boomplay
Переглядів 110
#ibraah Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Ludacris afunga shughuli za watu kwa kupiga show ya bure baada ya tamasha lake kuahirishwa kisa Mvua
Переглядів 5963 години тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Atoswa na mpenzi wake mbele ya mashabiki elfu 20 alipotaka kumvisha Pete baada ya kupoteza pambano
Переглядів 1,6 тис.3 години тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Davido amfanyia suprise hii Chioma kuelekea siku ya Harusi yao, Post yao yapata LIKES milioni 1.4 IG
Переглядів 1 тис.3 години тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Young Lunya atangaza kuachia album yake ya kwanza, aweka orodha ya ngoma zote
Переглядів 1,4 тис.4 години тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Komasava yamfikia mchekeshaji Michael Black Son wa Marekani, aandika haya, Diamond ajibu
Переглядів 4,3 тис.4 години тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Penzi jipya? Yammy amuandikia Mbosso maneno haya ya kimahaba na kuweka video zao za pamoja
Переглядів 2,5 тис.4 години тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Hamisa Mobetto ampindua Wema Sepetu, awa staa wa kike wa kwanza kutoka Bongo mwenye wafuasi wengi IG
Переглядів 2,3 тис.5 годин тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
GPS: ZIARA ya PUTIN Korea Kaskazini na Urafiki na KIM unavyowaumiza kichwa US, nchi za MAGHARIBI
Переглядів 5 тис.5 годин тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
GPS:VITA kamili kati ya ISRAEL na HEZBOLLAH vyazidi kunukia! Mashariki ya Kati Itatikisika
Переглядів 9 тис.7 годин тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
GPS: KENYA kutikitiswa na MAANDAMANO ya SIKU 7 kupinga Muswada wa Fedha, RUTO awakubali Gen Z
Переглядів 5 тис.8 годин тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
VISU kunogesha Tamasha hili kubwa la KIPEKEE Dar, Mandinga ya KIFAHARI kuhusishwa na FASHION
Переглядів 2,3 тис.15 годин тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Saudi Arabia yathibitisha Mahujaji 1,301 wamefariki Makka, yumo Sheikh Said Nyange wa Zanzibar
Переглядів 9 тис.16 годин тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
INATISHA: Jinsi Elon anavyotakiwa kulipwa zaidi ya TZS Trilioni 116, haijawahi kutokea!
Переглядів 17 тис.2 години тому
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
MAHUJAJI zaidi ya 1,000 wafariki MAKKA, BAKWATA yafunguka, fahamu JOTO lilivyosababisha VIFO vyao
Переглядів 22 тис.2 години тому
MAHUJAJI zaidi ya 1,000 wafariki MAKKA, BAKWATA yafunguka, fahamu JOTO lilivyosababisha VIFO vyao
MWANASIASA nguli wa UK akosolewa kwa kudai MAGHARIBI walichokoza VITA vya Ukraine, anamkubali PUTIN
Переглядів 28 тис.2 години тому
MWANASIASA nguli wa UK akosolewa kwa kudai MAGHARIBI walichokoza VITA vya Ukraine, anamkubali PUTIN
Afro Wisdom: Huyu hapa Mabala The Farmer, anakielezea kitabu chake 'Run Free', utajifunza mengi
Переглядів 1,5 тис.2 години тому
Afro Wisdom: Huyu hapa Mabala The Farmer, anakielezea kitabu chake 'Run Free', utajifunza mengi
Kwanini Makampuni yanawakimbilia Baba Levo na Mwijaku kujitangaza? Ifahamu sababu na Ujanja muhimu
Переглядів 9 тис.2 години тому
Kwanini Makampuni yanawakimbilia Baba Levo na Mwijaku kujitangaza? Ifahamu sababu na Ujanja muhimu
Chindo awavuta wakali wa Hip Hop wa Marekani The Game na Jadakiss kwenye ngoma mbili tofauti
Переглядів 3,8 тис.2 години тому
Chindo awavuta wakali wa Hip Hop wa Marekani The Game na Jadakiss kwenye ngoma mbili tofauti
BODI: Kabila ambalo KITAMBI kikubwa kwa Mwanaume ni uzuri wa kugombaniwa na Wanawake, 6 Packs MWIKO
Переглядів 8 тис.2 години тому
BODI: Kabila ambalo KITAMBI kikubwa kwa Mwanaume ni uzuri wa kugombaniwa na Wanawake, 6 Packs MWIKO
Harusi ya Davido: Baba yake alivyowasili Lagos na Private Jet yake! Noma
Переглядів 11 тис.2 години тому
Harusi ya Davido: Baba yake alivyowasili Lagos na Private Jet yake! Noma
Khaligraph Jones aja na T- Shirt mahususi kwaajili ya kupinga muswada wa fedha Kenya, anazigawa bure
Переглядів 2,5 тис.2 години тому
Khaligraph Jones aja na T- Shirt mahususi kwaajili ya kupinga muswada wa fedha Kenya, anazigawa bure
Snoop Dogg avutiwa na Kendrick Lamar, ampa Ufalme wa West Coast baada ya show yake huko LA
Переглядів 2 тис.4 години тому
Snoop Dogg avutiwa na Kendrick Lamar, ampa Ufalme wa West Coast baada ya show yake huko LA
Meek Mill aombwa Pesa na shabiki baada ya kupiga naye Picha, ampatia na kumpiga mkwara
Переглядів 3,1 тис.4 години тому
Meek Mill aombwa Pesa na shabiki baada ya kupiga naye Picha, ampatia na kumpiga mkwara
PUTIN & KIM wawashika pabaya NATO na MAREKANI! Mkataba waliosaini ni tishio na unabadilisha MCHEZO!
Переглядів 21 тис.4 години тому
PUTIN & KIM wawashika pabaya NATO na MAREKANI! Mkataba waliosaini ni tishio na unabadilisha MCHEZO!
KOMASAVA ya Diamond yapigwa kwenye mtindo wa SINGELI, tazama video hii, ni noma
Переглядів 8 тис.4 години тому
KOMASAVA ya Diamond yapigwa kwenye mtindo wa SINGELI, tazama video hii, ni noma
NIFFA atamba na RANGE ROVER yake, aandika NIFFER 3 kwenye namba ya usajili, PESA inaongea
Переглядів 4,9 тис.4 години тому
NIFFA atamba na RANGE ROVER yake, aandika NIFFER 3 kwenye namba ya usajili, PESA inaongea
Akaunti ya Tiktok ya Krg The Don yafutwa,apoteza wafuasi Laki moja IG kisa kuunga mkono FINANCE BILL
Переглядів 4,5 тис.4 години тому
Akaunti ya Tiktok ya Krg The Don yafutwa,apoteza wafuasi Laki moja IG kisa kuunga mkono FINANCE BILL
Eric Omondi aachiwa, Mkewe afunguka Simu yake kuzimwa na Polisi kumficha, Wananchi wampongeza
Переглядів 2,5 тис.4 години тому
Eric Omondi aachiwa, Mkewe afunguka Simu yake kuzimwa na Polisi kumficha, Wananchi wampongeza
mwanamke enyew mshumaa 😂 acha ufala ww bondia
Watoto wako pia wakufe
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Kumeanza kuchangamka😢
Hahahaha z lensk😂
He is Gemini 😂😂 so oh yeah
Hao mashoga wasubiri majibu sasa
Ruto anashindwa
❤❤❤❤❤
masubi yuko sawa
Haya tusubirie kazi ya Putin wamechochea moto
❤❤❤❤ Inr so sweet
Tunapenda madini yenu kabisa na kila kukicha mpaka nifatilie content zenu ila mwamba Masubi Alli hazingatii muda, sijui madini ndo mengi kichwani au vipi?
sasa ukraine itaanza kufa hasa
Wali mchokoza Iran acha wayaone
Wa kwanza
Mungu anajia kwani ilikua hivyo
😅😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉maua yake chinga
Sns ndo sehemu pekee unasikiliza clip ya lisaa bila kuskip, big up bros
Wenye wana-coment ujinga wajue huyu ni baba wa mtu na alikuwa kazini.
kama ni hivyo basi DJ Smaa unapaswa huwe unaongea hivyo hivyo hata kwa Mrusi dhidi ya M Ukraine. sio unasema Urusi noma mara sijui Ukraine hakuna kitu......Kimsingi ugomvi ni ugomvi tu kila mtu ana mbinu zake. Na kuhusu mifumo ya kiulinzi kwa maana ya air defense system ni kwamba kila air system defense ina ubora wake na udhaifu wake pia kwahiyo hata hizo S300 sijui S400 nazenyewe zinamapungufu pia. kwahiyo DJ Smaa ninachotaka mimi kukusikia wewe ni uwe unabalance hoja sio kuwa one side hapana.
Dj SMA~Muda ndio utasema (Wenye akili wanakuelewa).
Madam ni mmoja tu Tz! Ni Wema Sepetu!❤❤❤
Ako kawimbo cha sns wa ha kabisa noma
Uwepo wa urusi ni Amani dunia nzima
Asalaam areykum, Mimi Niko oman,huku ninaona vitunguu vingi vinatoka India na Pakistan,I Pia Kuna soko la viazi mbatata na vitamu,ambavyo hivi vinatoka ethiopia,Uganda na Burundi Yapo maduka ya kiswahili Vipo Toka tz ila bei juu, Hivyo serikali yetu waangarie FURSA ktk nchi hizi za gulf,parachichi Moja rialmoja na nusu sawa na tsh,10000 ya kwetu
Nimesikia Wachaga kwa mbali😂😂😂 like zenu wachaga
Mie natoa maoni kuna kichwa kimoja ni mtu mzima anaitwa Hamdun Marcel, huyu ana madini yanayo akisi zamani na sasa. Itakuwa tamu sana hii GPS in sns.
SMA ní fundi sana appreciate
Jama katufikishambari sana
halafù inakua vigumu kukuelewa tofauti wewe na dj sma una kwenda kwa kukwa sana halafu tùna shindwa kukuelewa katika uchambuzi wko
Israel ipigwe
Shida ya ruto ni mbili au tatu, kwanza ulimbukeni wa pesa, kwa mfano miezi miwili nyuma kulikua na sakata la mugokaa, wakulima wa mugokaa walienda kwake kumrai kuaongea na viongozi wa pwani waweze kuwaruhusu walete mugokaa, alichokifanya aliwapa 500 million, wakati huo ma daktari walikua wamegoma, hiyo ni pesa hiyo ni pesa ambayo ingeweza kuongezwa na kurudisha ma daktari kazini, safari za kila mara tena kutumia ukafiri wa gharama, kuhonga wabunge ili wamkingie kifua, 2 anatumia nguvu sana kuliko akili 3 nimuongo kupindukia, yani nikigeugeu, kiufupi hana msimamo
Napenda saana bro sky unatufunza mengi
bado huyo kijana wetu hajawa tayari kwa kufanya coment bado sababu una sita sita aima una kwama kwama sana katika comt
Nawashauri wasanii wanaotaka kufanya music biashara huyu dada anafaa
Daaaaahhhhhhhh😢😢😢 pole yake sana atapata wa kwake😊
Tantee diamond🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Vita ikianza huko lebanoni muanze Tena kulalamika nakukimbilia umoja wama taifa ninyi niwapambe wa urusi na hamasi mnapochambua habari msiegeme upande mmoja ili muaminike mwanzoni mlisema ninyi wenyewe Izraeli itasdwa na hamasi Leo kumebadilikae?😂😂😂😂😂😂😂
Kiukweli ata haya mambo ya gdp na nn yatakua yameambatana na propaganda za kutosha.. inawezekana reality ikawa ni tofauti kabisa na picha iliyopo.. tukumbuke Media nyingi zenye nguvu duniani ziko wap
Kwani hatuwezi kuwa na raisi Moja tu milele kama vile mfalme
Mjadala wa iron dome unakuaga mzuri sana sababu smaa na ally wana mitizamo tofauti kwenye ubora🔥🔥🔥🔥
😅
😂😂😂. Brother sky mfumo
Real man
Wasaudi ni waongo Sana hawasemagi ukweli coz kama huyu shee nyange alifikaje Saudi bila kibali wasaudi hua hivo
Maandamano ni peaceful kabisa
Aisee